CCM ZANZIBAR
.
Anuani
Kisiwandui, Zanzibar
Simu
(+255) 26 23 22965
Facebook
Twitter
Instagram
Youtube
Menu
Home
NYARAKA
ILANI
MANIFESTO 2020-2025
KATIBA
MALIPO ADA
Jisajili
Sema Na CCM
Idara
Serikali
CCM Mail
Habari na Matukio Mbalimbali
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi amewaagiza Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali kuendeleza fursa za kuajiri walimu wengi zaidi wa fani zote ili kuondosha changamoto ya walimu Zanzibar.
Apr 18, 2024
Dk. Hussein Ali Mwinyi ametoa wito kwa nchi wanachama za Jumuia ya Maendeleo Kusini mwa bara la Afrika, SADC, kuona haja za kuziimarisha taasisi zao zinazosimamia utawala bora zikiwemo Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali
Apr 17, 2024
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema mafanikio makubwa yaliyofikiwa na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye nyanja zote za maendeleo, kisiasa, Uchumi, utamaduni na huduma za jamii yameipatia nchi heshima kubwa kwenye Jumuiya ya Kimataifa.
Apr 15, 2024
Serikali imeanza Ufungaji wa Kamera maalumu(CCTV) katika maeneo mbalimbali yanayozunguka magereza lengo ikiwa ni Uboreshaji wa Huduma za ulinzi na usalama pamoja na kwenda na dhana nzima ya sayansi na teknolojia katika utoaji na ufuatiliaji wa huduma kwa wadau mbalimbali wanaoshilikiana na Jeshi la Magereza ikiwemo Jeshi la Polisi na Mahakama.
Apr 15, 2024
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi amewaagiza Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali kuendeleza fursa za kuajiri walimu wengi zaidi wa fani zote ili kuondosha changamoto ya walimu Zanzibar.
Dk. Hussein Ali Mwinyi ametoa wito kwa nchi wanachama za Jumuia ya Maendeleo Kusini mwa bara la Afrika, SADC, kuona haja za kuziimarisha taasisi zao zinazosimamia utawala bora zikiwemo Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema mafanikio makubwa yaliyofikiwa na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye nyanja zote za maendeleo, kisiasa, Uchumi, utamaduni na huduma za jamii yameipatia nchi heshima kubwa kwenye Jumuiya ya Kimataifa.
Serikali imeanza Ufungaji wa Kamera maalumu(CCTV) katika maeneo mbalimbali yanayozunguka magereza lengo ikiwa ni Uboreshaji wa Huduma za ulinzi na usalama pamoja na kwenda na dhana nzima ya sayansi na teknolojia katika utoaji na ufuatiliaji wa huduma kwa wadau mbalimbali wanaoshilikiana na Jeshi la Magereza ikiwemo Jeshi la Polisi na Mahakama.
Viongozi Wa Chama
DKT.SAMIA SULUHU HASSAN
Mwenyekiti wa Chama
DKT. HUSSEIN ALI MWINYI
Makamu Mwenyekiti - ZNZ
NDUGU ABDULRAHMAN KINANA
Makamu Mwenyekiti Bara
NDUGU. DANIEL CHONGOLO
Katibu Mkuu
NUKUU
Mimi nang'atuka lakini nitaendelea kuamini kuwa bila CCM mathubuti nchi itayumba.
Mwalimu J.k.Nyerere ,1990.
Albamu