Taarifa ya Chama kufuatia Kifo cha Ndugu John Pombe Joseph Magufuli Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania..
Taarifa ya Chama kufuatia Kifo cha Ndugu John Pombe Joseph Magufuli Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliyotolewa na Katibu wa H/Kuu ya Taifa Itikadi na Uenezi Ndugu Humphrey Polepole