Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Hussein Ali Mwinyi, leo Jumatano tarehe 12 Oktoba 2022 ameingia siku ya pili ya ziara yake nchini Oman, ambapo baada ya kukutana na Mtawala wa Oman Mh. Sultan Haitham bin Tariq kwa mazungumzo yaliyofanyika katika Kasri la Sultani la Al Barakah alielekea kutembelea Msikiti Mkubwa unaojulikana kama Grand Mosque ambapo alitembezwa na kushuhudia maajabu ya ukubwa wa Msikiti huo unaovutia.
Ziara yake ya leo iliyojaa harakati nyingi ilimchukua hadi katika majengo yanayohifadhi nyaraka mbalimbali za kale zikiwemo za Zanzibar eneo limaloitwa GHALA.
Baada ya hapo akaelekea katika jengo kubwa la Kifalme linalotumika kwa ajili ya maonesho ya muziki na sanaa. Ni jengo la kisasa kwa wale wanaovutiwa na sanaa za maonesho.
Baadae alitembelea Jumba la Makumbusho ya Taifa liitwalo Oman National Museum.
Mhe Hemed Suleiman amewataka wahudumu wa afya kuwa na bidii na nidhamu kwa wananchi
25-10-2025
SMZ Kuendelea kuweka Mifumo ya Kiteknolojia ya Kisasa
25-10-2025
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki amefanya mazungumzo na Katibu Mtendaji wa SADC
25-10-2025
Serikali ya Tanzania na Serikali ya Sudan kuimarisha ushirikiano wa uwili na kikanda.
25-10-2025
Dkt. Samia Suluhu Hassan ameongoza Kikao cha Dharura cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa
25-10-2025
CCM KATA YA MWANANYAMALA NA CCM MKOA WA MAGHARIB WATEMBELEA S.G.R DAR ES SAALAM-MOROGORO.
25-10-2025
Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Dkt. Mohamed Said Dimwa, amewataka mabalozi wa mashina ya CCM nchini kuhakikisha wanafanya kazi zao kwa umakini, ufanisi, na ueledi, kwa kuhakikisha wanachama wote wenye sifa za kupiga kura wanaandikishwa katika zoezi la awamu ya pili la uandikishaji wa daftari la kudumu la wapiga kura, linalotarajiwa kufanyika mwezi Februari, mwaka 2025.
25-10-2025
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa amekabidhiwa ofisi na aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni ambaye Sasa ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), jana tarehe 13 Disemba, 2024 jijini Dodoma.
25-10-2025
Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Dkt. Mohamed Said Dimwa, ametoa uchambuzi wa kina kuhusu ushindi mkubwa wa chama hicho katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika Septemba 27, mwaka 2024
25-10-2025
Chama Cha Mapinduzi Zanzibar (CCM) kimempongeza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Mwinyi, kwa kutunukiwa Shahada ya Heshima ya Uzamivu na Chuo Kikuu cha Zanzibar.
25-10-2025