NAIBU KATIBU MAKUU CCM ZANZIBAR NDG. MOHAMMED SAID MOHAMMED (DIMWA) AMESHIRIKI KIKAO CHA HALMASHAURI YA KUU CCM, MKOA WA MJINI
Naibu Katibu Mkuu CCM Zanzibar Ndg. Mohammed Said Mohammed (DIMWA) ameshiriki katika kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Mkoa wa Mjini kikao hicho chenye lengo la kuchagua uongozi mpya wa kamati ya siasa mkoa wa mjini