DR MWINYI AKUTANA NA MWAKILISHI WA UNICEF
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema inajivunia ushirikiano wake na Wadau wa Maendelo likiwemo Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia masuala ya Elimu na Watoto diniani, (UNICEF).
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi alisema hayo Ikulu, Zanzibar alipozungumza na Mwakilishi Mkazi wa UNICEF, Tanzania Bi. Shalini Bahuguna aliefika kwaajili ya kumuaga baada ya kumaliza kwa muda wake wa utumishi kwenye shirika hilo.
Dk. Mwinyi alisema, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inaridhishwa na kazi kubwa inayofanywa na timu nzima ya UNICEF, Tanzania kupitia ushirikiano wake kwani wako bega kwa bega katika kuimarisha masuala yanayohusu ustawi wa watoto nchini.
“UNICEF imefanya makubwa Tanzania hususani ushirikiano wake wa karibu katika kuiungamkono Serikali yetu kwenye masuala mbalimbali ya maendeleo, wamefanya mengi siwezi kuyaonesha maeneo yote sababu ni mengi mno.” alifafanua Rais Dk. Mwinyi.
Pia Dk. Mwinyi, alimpongeza Bi. Shalini kwa jitihada zake, kwa kipindi chote alichofanyakazi na UNICEF hapa nchini akieleza mchango mkubwa walioutoa kwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar hasa katika miradi ya maendeleo iliyotekelezwa na shirika hilo katika kuiunga mkono SMZ.
Dk. Mwinyi alimweleza Mwakilishi huyo kwamba, daima Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itaendelea kulishukuru Shirika la UNICEF kwa kuiunga mkono Zanzibar kwenye masuala ya Afya na Elimu.
Akizungumza kwenye hafla hiyo, Bi. Shalini alimpongeza Rais Dk. Mwinyi kwa uongozi wake hasa katika kuzisimamia vema rasilimali za Zanzibar kwenye ujenzi wa maendeleo ya Wazanzibari wa maeneo yote ya Unguja na Pemba.
Alimsifu Dk. Mwinyi kuwa Kiongozi wa mfano hasa kwa kukinawirisha kimaendeleo Kisiwa cha Pemba na mageuzi makubwa aliyofanya kwenye sekta za afya na Elimu Zanzibar.
Vilevile bi Bi. Shalini ameisifu za Zanzibar kwa kufanikiwa kutekeleza malengo ya Mileniam kwani imefanikiwa kwenye suala zima la kudumisha usafiwa mazingira kwa maeneo mengi ya miji.
Akizungumzia mafanikio katika ustawi wa masuala ya watoto, Mwakilishi huyo wa UNICEF aliipongeza Serikali ya Dk. Mwinyi na kueleza kuwa Zanzibar imefanikiwa kwa asilimia 75 kuwarejesha skuli watoto wengi walioacha masomo kwa mazingira tofauti waliyokumbana nayo kwenye makuzi yao.
UNICEF ni Shirika la Umoja wa Mataifa (UN) lililoanzishwa tangu mwaka 1946 New York, Marekani, linashughulika na masuala ya Elimu na Watoto duniani, linafanyakazi kwenye maeneo zaidi ya 190 duniani kote, katika kuwafikia watoto na vijana walio kwenye matatizo kutokana na majanga mbalimbali kwa kuboresha chanjo kwa watoto na kutoa lishe bora katika kuimarisha huduma za dharura mbali na mambo mengine yanayowahusu watoto.
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema inajivunia ushirikiano wake na Wadau wa Maendelo likiwemo Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia masuala ya Elimu na Watoto diniani, (UNICEF).
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi alisema hayo Ikulu, Zanzibar alipozungumza na Mwakilishi Mkazi wa UNICEF, Tanzania Bi. Shalini Bahuguna aliefika kwaajili ya kumuaga baada ya kumaliza kwa muda wake wa utumishi kwenye shirika hilo.
Dk. Mwinyi alisema, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inaridhishwa na kazi kubwa inayofanywa na timu nzima ya UNICEF, Tanzania kupitia ushirikiano wake kwani wako bega kwa bega katika kuimarisha masuala yanayohusu ustawi wa watoto nchini.
“UNICEF imefanya makubwa Tanzania hususani ushirikiano wake wa karibu katika kuiungamkono Serikali yetu kwenye masuala mbalimbali ya maendeleo, wamefanya mengi siwezi kuyaonesha maeneo yote sababu ni mengi mno.” alifafanua Rais Dk. Mwinyi.
Pia Dk. Mwinyi, alimpongeza Bi. Shalini kwa jitihada zake, kwa kipindi chote alichofanyakazi na UNICEF hapa nchini akieleza mchango mkubwa walioutoa kwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar hasa katika miradi ya maendeleo iliyotekelezwa na shirika hilo katika kuiunga mkono SMZ.
Dk. Mwinyi alimweleza Mwakilishi huyo kwamba, daima Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itaendelea kulishukuru Shirika la UNICEF kwa kuiunga mkono Zanzibar kwenye masuala ya Afya na Elimu.
Akizungumza kwenye hafla hiyo, Bi. Shalini alimpongeza Rais Dk. Mwinyi kwa uongozi wake hasa katika kuzisimamia vema rasilimali za Zanzibar kwenye ujenzi wa maendeleo ya Wazanzibari wa maeneo yote ya Unguja na Pemba.
Alimsifu Dk. Mwinyi kuwa Kiongozi wa mfano hasa kwa kukinawirisha kimaendeleo Kisiwa cha Pemba na mageuzi makubwa aliyofanya kwenye sekta za afya na Elimu Zanzibar.
Vilevile bi Bi. Shalini ameisifu za Zanzibar kwa kufanikiwa kutekeleza malengo ya Mileniam kwani imefanikiwa kwenye suala zima la kudumisha usafiwa mazingira kwa maeneo mengi ya miji.
Akizungumzia mafanikio katika ustawi wa masuala ya watoto, Mwakilishi huyo wa UNICEF aliipongeza Serikali ya Dk. Mwinyi na kueleza kuwa Zanzibar imefanikiwa kwa asilimia 75 kuwarejesha skuli watoto wengi walioacha masomo kwa mazingira tofauti waliyokumbana nayo kwenye makuzi yao.
UNICEF ni Shirika la Umoja wa Mataifa (UN) lililoanzishwa tangu mwaka 1946 New York, Marekani, linashughulika na masuala ya Elimu na Watoto duniani, linafanyakazi kwenye maeneo zaidi ya 190 duniani kote, katika kuwafikia watoto na vijana walio kwenye matatizo kutokana na majanga mbalimbali kwa kuboresha chanjo kwa watoto na kutoa lishe bora katika kuimarisha huduma za dharura mbali na mambo mengine yanayowahusu watoto.
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema inajivunia ushirikiano wake na Wadau wa Maendelo likiwemo Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia masuala ya Elimu na Watoto diniani, (UNICEF).
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi alisema hayo Ikulu, Zanzibar alipozungumza na Mwakilishi Mkazi wa UNICEF, Tanzania Bi. Shalini Bahuguna aliefika kwaajili ya kumuaga baada ya kumaliza kwa muda wake wa utumishi kwenye shirika hilo.
Dk. Mwinyi alisema, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inaridhishwa na kazi kubwa inayofanywa na timu nzima ya UNICEF, Tanzania kupitia ushirikiano wake kwani wako bega kwa bega katika kuimarisha masuala yanayohusu ustawi wa watoto nchini.
“UNICEF imefanya makubwa Tanzania hususani ushirikiano wake wa karibu katika kuiungamkono Serikali yetu kwenye masuala mbalimbali ya maendeleo, wamefanya mengi siwezi kuyaonesha maeneo yote sababu ni mengi mno.” alifafanua Rais Dk. Mwinyi.
Pia Dk. Mwinyi, alimpongeza Bi. Shalini kwa jitihada zake, kwa kipindi chote alichofanyakazi na UNICEF hapa nchini akieleza mchango mkubwa walioutoa kwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar hasa katika miradi ya maendeleo iliyotekelezwa na shirika hilo katika kuiunga mkono SMZ.
Dk. Mwinyi alimweleza Mwakilishi huyo kwamba, daima Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itaendelea kulishukuru Shirika la UNICEF kwa kuiunga mkono Zanzibar kwenye masuala ya Afya na Elimu.
Akizungumza kwenye hafla hiyo, Bi. Shalini alimpongeza Rais Dk. Mwinyi kwa uongozi wake hasa katika kuzisimamia vema rasilimali za Zanzibar kwenye ujenzi wa maendeleo ya Wazanzibari wa maeneo yote ya Unguja na Pemba.
Alimsifu Dk. Mwinyi kuwa Kiongozi wa mfano hasa kwa kukinawirisha kimaendeleo Kisiwa cha Pemba na mageuzi makubwa aliyofanya kwenye sekta za afya na Elimu Zanzibar.
Vilevile bi Bi. Shalini ameisifu za Zanzibar kwa kufanikiwa kutekeleza malengo ya Mileniam kwani imefanikiwa kwenye suala zima la kudumisha usafiwa mazingira kwa maeneo mengi ya miji.
Akizungumzia mafanikio katika ustawi wa masuala ya watoto, Mwakilishi huyo wa UNICEF aliipongeza Serikali ya Dk. Mwinyi na kueleza kuwa Zanzibar imefanikiwa kwa asilimia 75 kuwarejesha skuli watoto wengi walioacha masomo kwa mazingira tofauti waliyokumbana nayo kwenye makuzi yao.
UNICEF ni Shirika la Umoja wa Mataifa (UN) lililoanzishwa tangu mwaka 1946 New York, Marekani, linashughulika na masuala ya Elimu na Watoto duniani, linafanyakazi kwenye maeneo zaidi ya 190 duniani kote, katika kuwafikia watoto na vijana walio kwenye matatizo kutokana na majanga mbalimbali kwa kuboresha chanjo kwa watoto na kutoa lishe bora katika kuimarisha huduma za dharura mbali na mambo mengine yanayowahusu watoto.
Mhe Hemed Suleiman amewataka wahudumu wa afya kuwa na bidii na nidhamu kwa wananchi
19-12-2025
SMZ Kuendelea kuweka Mifumo ya Kiteknolojia ya Kisasa
19-12-2025
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki amefanya mazungumzo na Katibu Mtendaji wa SADC
19-12-2025
Serikali ya Tanzania na Serikali ya Sudan kuimarisha ushirikiano wa uwili na kikanda.
19-12-2025
Dkt. Samia Suluhu Hassan ameongoza Kikao cha Dharura cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa
19-12-2025
CCM KATA YA MWANANYAMALA NA CCM MKOA WA MAGHARIB WATEMBELEA S.G.R DAR ES SAALAM-MOROGORO.
19-12-2025
Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Dkt. Mohamed Said Dimwa, amewataka mabalozi wa mashina ya CCM nchini kuhakikisha wanafanya kazi zao kwa umakini, ufanisi, na ueledi, kwa kuhakikisha wanachama wote wenye sifa za kupiga kura wanaandikishwa katika zoezi la awamu ya pili la uandikishaji wa daftari la kudumu la wapiga kura, linalotarajiwa kufanyika mwezi Februari, mwaka 2025.
19-12-2025
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa amekabidhiwa ofisi na aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni ambaye Sasa ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), jana tarehe 13 Disemba, 2024 jijini Dodoma.
19-12-2025
Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Dkt. Mohamed Said Dimwa, ametoa uchambuzi wa kina kuhusu ushindi mkubwa wa chama hicho katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika Septemba 27, mwaka 2024
19-12-2025
Chama Cha Mapinduzi Zanzibar (CCM) kimempongeza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Mwinyi, kwa kutunukiwa Shahada ya Heshima ya Uzamivu na Chuo Kikuu cha Zanzibar.
19-12-2025